
Friday, May 30, 2008
Thursday, May 29, 2008
SHAMIM NDANI YA LEO TENA !
Akiwa na Joyce Kiria hapo juu!
Akiwa na Dina Marious hapo juu
NI ALHAMIS YA TAREHE 22 ALIKUWA NDANI YA CLOUDS FM YA JIJINI DAR KATIKA KIPINDI CHA LEO TENA NA DINAH MARIOUS NA JOYCE KIRIA AKITUWAKILISHA MITINDO IPI IKO JUU KWA SASA NA IPI IMEPUMZISHWA KWA WAKATI HUU MPAKA HAPO BAADAE MTEMBELEE www.2080fashions.blogspo.comWednesday, May 28, 2008
Fashion hii ya nywele ipo juu ile mbaya.
Monday, May 26, 2008
Supa Modo na Fashion yake.




NAFURAHI KUWAJULISHA WATU WOTE WANAOISHI KATIKA MJI WA MWANZA (ROCK CITY BABE) NIMEFUNGUA FASHION BOUTIQUE AMBAYO IPO MLANGO MMOJA OPPOSITE JAMBO STATION..
THE NAME OF THE SHOP IS VENNYSH FASHION BOUTIQUE PLZ GO AND CHECK IT OUT..I HAVE EVERYTHING U WANT AND U WILL LOVE ALL THE COLLECTIONS DIRECT FROM US of A - FROM CLOTHES,SHOES TO HANDBAGS,GLASSES,PERFUME,NGUO ZA HARUSI NA WASINDIKIZAJI WAKE DESIGN TOFAUTI TOFAUTI..
NA NITAFUNGUA MOJA DAR SOONER OR LATER MUNGU AKIPENDA SIMNAJUA TENA NYUMBANI FIRST... HAHAAHAAAA.
NITATOA CATALOGUE HIVI KARIBUNI KWA HIYO KAMA UTATAKA KU-ORDER UTAWEZA PIA KU-ORDER AS I SAID U WILL NEVER BE DISAPPOINTED GO AND CHECK IT OUT OR U CAN CALL 0763 533 755 ASK FOR MAGRETH
THANKS YA'LL AND GOD BLESS YOU..SINCERELY,
CYNTHIA MASASI
www.cynthiamasasi.com
Sunday, May 25, 2008
Thursday, May 22, 2008
Shaluwa
Ni blog inayokusababishia mambo ya malove jinsi gani ya kumuweka mpenzi wako aendane na wakati na jinsi gani utakavyo mudu nae kutafuta wachuma/Marafiki.Mtembelee www.shaluwanew.blogspot.com
Utajifunza mambo mengi sana kutoka kwake.
Utajifunza mambo mengi sana kutoka kwake.
Tuesday, May 20, 2008
Monday, May 19, 2008
Sunday, May 18, 2008
Thursday, May 15, 2008
Wednesday, May 14, 2008
Tuesday, May 13, 2008
Monday, May 12, 2008
Akhasante sana Mdau wangu.

Mie sina maneno mdau akinitumia kitu nakiweka kama kilivyo,Fancy anapenda kuwashukuru wazazi wake wote wawili kwa malezi yao na pia anasema siku ya mama ni muhimu kwake hana cha kumlipa ni Mungu pekee ndio anajua,Thanks Fancy nami nakuambia usikubali mtu akukatishe tamaa kwa kile unachotaka kufanya maishani mwako,wa bongo wanasema hivi (UKITAKA KUPATA MARAFIKI WEMA LAZIMA MAADUI WAWE WENGI),songa mbele usirudi nyuma kamwe.Habari ndio hiyo.Sunday, May 11, 2008
Happy Mother's Day! I love u Mum!
Thursday, May 8, 2008
Tuesday, May 6, 2008
Monday, May 5, 2008
Leo tunae Mrembo machachari sana awapo studio!
Kwani nimebisha Dina ?sijabisha smile hiyo.
Hapo juu yupo kichachanduchachandu zaidi.
Hapo juu akiwa studio,88.4 cloud's Fm,jijini Dar!
Leo tena kama kinavyoitwa kipindi chake ninaye mwana dada mrembo Dina,angalia style yake ya nywele na mavazi yake anakwenda na wakati,ni mpole,mcheshi kwa watu,na hana majivuno,Namkubali sana Dina kwa mavazi yake na awapo mzigoni huwa sikosi kusikiliza na hata kumtumia sms kwenye kipengele chake cha chachandu la kila siku,Leo tena ni kipendi kinachorusha kuanzia saa 3/7 za mchana.Big up Mamaaa Dina.
Subscribe to:
Comments (Atom)





























Mambo hayo,nani anabisha?





