WADAU NINAYO FURAHA KUBWA KUWAJULISHA KUWA SALA ZENU KWA WAUKWELI ZIMESIKIKA NA SASA BINTI YUKO FITI BAADA YA KUFANYIWA OPERATION YA KICHWA KUTOA UVIMBE ULIOKUWA KICHWANI!
I HOPE SOON SHE WILL START BLOGING KAMA KAWAAAAAAAAAAAAAAAAA
HAVE A GUD TYME
BRAZATK
www.mwakilaga.blogspot.com
Waukweli Zaidi Yao.
Wednesday, October 28, 2009
Thursday, October 8, 2009
WAUKWE ANAUMWA WADAU
HELLO WADAU WA BLOG HII NINGEPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWAJULISHA KUWA HOST WA BLOG HII WAUKWELI ANAUMWA NA ANAHITAJI MAOMBEZI YENU KWANI ALIFANYIWA OPERATION YA KICHWA NA TAARIFA ZILIZONIFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA AMEPOTEZA UWEZO WAKE WAKUONA!
NITAFANYA JITIHADA ZAKWENDA KUMUONA NA KUJA KURIPOTI TAARIFA KAMILI KUHUSIANA NA HILI!
ASANTENI NA MUNGU AWABARIKI!
NDIMI,
Brazatk wa www.mwakilaga.blogspot.com
Email: brazatk@yahoo.com
NITAFANYA JITIHADA ZAKWENDA KUMUONA NA KUJA KURIPOTI TAARIFA KAMILI KUHUSIANA NA HILI!
ASANTENI NA MUNGU AWABARIKI!
NDIMI,
Brazatk wa www.mwakilaga.blogspot.com
Email: brazatk@yahoo.com
Wednesday, March 18, 2009
HONGERA SISY SHAMIM/ZEZE
Thursday, March 12, 2009
HAPPY BDAY BABY NANCY!


New ZanzibaHotel.Watoto mko juu sana.
Jamani mi sina mengi sana ya kuongea,Pic zenyewe zinajieleza ilikuwa bonge la
party ilifanyika Zanzibar tarehe 8/3/2009,Baby nancy amefikisha miaka mi 3.Mama ake huwa anapenda sana matashistiti ilimradi tu anakwenda na wakati,Anampenda sn mwanae ameshamfanyia mambomengi sn anasoma ila kubwa zaidi amemfungulia bank yke,Ukiwa na mamy km huyu utapata raha duniani.Nimepemda Nancy alivyovaa.Hongera mama kwa kumfanyia mwanao bday nzuri kwa kuwaita na watoto wenzie wamshangilie inapendeza kwa kweli,Ni mfano wa kuigwa.Waukweli na wadau wake wote wanakutakia Maisha marefu baby Nancy,Uendelee kuwa mzuri ivyoivyo,Usome sana.Mungu akupe miaka 100 zaidi. yaeh lv u.
Sunday, March 8, 2009
HAPPY WOMAN'S DAY.

Saturday, March 7, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)