Wednesday, October 28, 2009

WAUKWELI YUKO FITIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

WADAU NINAYO FURAHA KUBWA KUWAJULISHA KUWA SALA ZENU KWA WAUKWELI ZIMESIKIKA NA SASA BINTI YUKO FITI BAADA YA KUFANYIWA OPERATION YA KICHWA KUTOA UVIMBE ULIOKUWA KICHWANI!

I HOPE SOON SHE WILL START BLOGING KAMA KAWAAAAAAAAAAAAAAAAA

HAVE A GUD TYME
BRAZATK
www.mwakilaga.blogspot.com

10 comments:

Anonymous said...

Ashukuriwe Mungu muweza wa yote kwa kumnusuru kipenzi chetu Waukweli. Tunaomba amrejeshee nguvu na amjalie afya yake izidi kuimarika.

Rose said...

Jamani Mungu ni mwema,nimepata furaha ya ajabu kusikia una nafuu,pole sana dada yetu!!Tuzidi kumuomba Mungu urudi mapema kwenye libeneke!! Pia asante kaka yetu kwa kutuhabarisha.Bwana asifiwe!

Elyc said...

Eeee Mungu utusaidie,utuepushe na magonjwa na balaa zote za dunia. Nakuombea upone haraka ,pole sana kwa maumivu makali.Mungu awe pamoja nawe rafiki.

mumyhery said...

Tunazidi kumuombea Mungu apone upesi tuwe pamoja

REEN said...

Glory 2God!

Dis is a vry good news..tutakusubiria kwa hamu uendelee kublogisha..Allah akujaze nguvu na afya tele.

wishing you quick recovery.God blessed you Matilda!

mni said...

so waht kama uko fit.....blog mnaanzisha, hamjui matumizi. Toka umekuwa fit umepost nini kwenye blog?
ifunge basi, waachieni akina michuzi,jd,zeze nk. wanaojua maana.

Anonymous said...

Mungu ni mwema!

Anonymous said...

Tunamshukuru Mungu, na tunazidi kumuombea apone kabisa, dada yetu

Stone Of The LKM02 Ent said...

God Bless Her!arudi tena on air!!!
naomba pole yangu imfikie!!tupo pamoja naye

La Princessa said...

pass by laprincessaworld.blogspot.com