Bendera alikabidhiwa na Mh Laurence Masha ndiye aliyekuwa mgeni rasmi wakati anaagwa Miss wetu,Anaenda kuiwakilisha nchi yetu uko Africa Kusini.Mimi na wadau wa Waukweli tunaamini Nasreem Karim unaweza kwani wengine waweze wananini na ww ushindwe unanini?,Jiamini kwa kila unalolifanya na utaweza mtangulize Mungu mbele kwa kila ki2.
1 comment:
mungu akubariki sana mpz nakuombea kila la heri by IRENE
Post a Comment