My mum anavyoniambia jinsi alivyopata shida kwangu wakati anajifungua pale Muhimbili apati picha,Ila anamshukuru sana Mungu nimetoka salama.Pole mum na I love u so much,Sina chakukulipa zaidi ninachoweza kusema Thanks Godbless u.
4 comments:
Anonymous
said...
Kweli hunabudi kumshukuru mama,Na wengine wote ambao wamepata matatizo kuja huku duniani,Hakuna kama mama duniani kote.
4 comments:
Kweli hunabudi kumshukuru mama,Na wengine wote ambao wamepata matatizo kuja huku duniani,Hakuna kama mama duniani kote.
Nimependa ujumbe wako.Hakuna kama mama.Sijaona wakufanana nae.
Mama I love you.Waukweli upo juu.
ujumbe wako upo kwenye mwimbo wa sweet mother
Post a Comment