huyu maimatha anachukiza kwa mkorogo;utadhani pinokyo?kama ndio fashion basi bora ndorobo wanavutia;acheni mikorogo hiyo mnajitafutia cancer za ngozi nyie wadada;black natural is beautifull;wenzenu wazungu ukiwa kama mpingo ndio wanakupa chati;sio mirangi rangi kama jengo la yanga africa jangwani;acheni hizo maimartha unatia kichefuchefu;hupendezi uongo mbaya mwana blogi msema kweli
3 comments:
Mai hapo amependeza sana,mmh tutaendaga kushona waukweli,tupetupe mambo hayo.
mmmhh maimartha kwa mkorogo nae!!!
anatishaaa
huyu maimatha anachukiza kwa mkorogo;utadhani pinokyo?kama ndio fashion basi bora ndorobo wanavutia;acheni mikorogo hiyo mnajitafutia cancer za ngozi nyie wadada;black natural is beautifull;wenzenu wazungu ukiwa kama mpingo ndio wanakupa chati;sio mirangi rangi kama jengo la yanga africa jangwani;acheni hizo maimartha unatia kichefuchefu;hupendezi uongo mbaya
mwana blogi msema kweli
Post a Comment