Kuna mdau amenitumia hizi picture nifananishe gauni alilovaa Queen David miss tmk mwaka jana na gauni alilovaa Anjera Lubala apo juu no 26 miss tz top 5 mwaka huu Je linafanana au mwazimo wa muda?
Kazi kwenu wadau wa mitindo na fashions za Ukweli.
3 comments:
Anonymous
said...
Sasa nani kamuanzaima mwezie?Duu hii kali ya mwaka,Na ww Anjela kwa nini umerudia gauni la Queen?
3 comments:
Sasa nani kamuanzaima mwezie?Duu hii kali ya mwaka,Na ww Anjela kwa nini umerudia gauni la Queen?
Huo ni mwazimo si unaona mwenyee.Queen kamuazima Anjera.
Niliona ila nikasema kukosa madesigner wa kukupa nguo ndio unaambulia second hand anyway wote walifika 5 bora au sio next!!
Post a Comment